✍️ 🧑‍🦱 💚 Autor:innen verdienen bei uns doppelt. Dank euch haben sie so schon 418.243 € mehr verdient. → Mehr erfahren 💪 📚 🙏

UCHAMBUZI WA FASIHI

UCHAMBUZI WA FASIHI

von Shadrack K. Nyagah
Softcover - 9786200620866
55,90 €
  • Versandkostenfrei
Auf meine Merkliste
  • Hinweis: Print on Demand. Lieferbar in 5 Tagen.
  • Lieferzeit nach Versand: ca. 1-2 Tage
  • inkl. MwSt. & Versandkosten (innerhalb Deutschlands)

Autorenfreundlich Bücher kaufen?!

Beschreibung

Ni kitabu kinacholenga kuchambua kazi tatu teule za fasihi andishi. Kitabu hiki kinaangazia riwaya ya Chozi la Heri, tamthlia ya Kigogo na hadithi fupi ya Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Kitabu hiki kimetayarishwa kimaksudi kwa lengo la kumwelekeza mwanafunzi, msomi na mpenzi wa fasihi ya Kiswahili katika uchambuzi wa vipengele mbalimbali vya fasihi andishi vikiwa ni pamoja na msuko, dhamira, maudhui, mbinu za lugha, wahusika na uhusika wao. Uchambuzi huu umefanywa kwa kuoanisha dhamira ya mwandishi na hali halisi katika jamii. Isitoshe, mchakato mzima wa kuwaumba wahusika na kuyajenga maudhui umeweza kuelezwa kwa njia sahili inayomwezesha msomaji kuielewa zaidi kazi husika. Mwongozo huu unaweza kutumikizwa katika kuchambua tanzu zingine sawa na hizi. Kitabu hiki pia kina maswali kadha ya kila kitabu kilichoshughulikiwa pamoja na majibu yake. Kila swali linakusudia kumchokonoa msomaji akili nayo majibu yakalenga matarajio ya watahini. Ni kitabu cha aina yake ambacho kinaweza kutumika katika shule za upili na vyuo.

(Chozi la Heri, Kigogo, Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine)

Details

Verlag GlobeEdit
Ersterscheinung 21. März 2021
Maße 22 cm x 15 cm x 0.8 cm
Gewicht 209 Gramm
Format Softcover
ISBN-13 9786200620866
Seiten 128

Schlagwörter

Widerrufsantrag einreichen

Füllen Sie das folgende Formular aus, um Ihren Widerrufsantrag einzureichen.