Autorenfreundlich Bücher kaufen?!
Beschreibung
Makala yaliyomo katika kitabu hiki yanajadili mambo makuu manne. Kwanza makala yanajadili umuhimu wa kufundisha lugha ya Kiswahili na matumizi yake katika nyanja mbalimbali. Kwa ujumla, makala haya yanajadili umuhimu wa Kiswahili na matumizi yake kwenye malezi ya watoto katika jamii za kiafrika. Hali kadhalika, makala haya yanajadili matumizi ya lugha hii katika kuelekeza wasichana kwenye masuala ya ndoa. Aidha, makala yanajadili sababu zinazowafanya wanafunzi wengi katika shule za sekondari nchini Uganda kutochukua somo la Kiswahili. Mwishowe, makala haya yanajadili mnyambuliko wa vitenzi katika lugha za kiafrika kwa kurejelea mfano wa Kimasaaba. Kitabu hiki kitawafaa sana wanafunzi na walimu katika shule za upili na wahadhiri wa Kiswahili katika vyuo vikuu.
Details
| Verlag | GlobeEdit |
| Ersterscheinung | 21. August 2020 |
| Maße | 22 cm x 15 cm x 0.6 cm |
| Gewicht | 149 Gramm |
| Format | Softcover |
| ISBN-13 | 9786200607706 |
| Seiten | 88 |